Mfumo huu umeandaliwa kumuwezesha mwananchi au taasisi iliyopo ndani ya nchi kutuma maombi au malalamiko wizarani muda wowote na mahali popote alipo. Mwananchi au Taasisi inaweza kutuma;
Maombi ya kupatiwa msaada wa kisheria
Malalamiko ya madai ya haki.
Maombi ya Kuongezewa muda wa kufungua shauri mahakamani.
Maombi ya kumrejesha mtuhumiwa aliye kimbilia ndani au nje ya inchi. (**Kwa taasisi maalum tu**)
Maombi ya kibali cha kuwaachia huru wafungwa wenye ugonjwa wa afya ya akili. (**Kwa taasisi maalum tu**)
Jinsi ya Kutuma Maombi
Ili kutuma maombi, mtumiaji anapaswa kuingia kwenye mfumo kwa namba yake ya simu na neno la siri kama alivyojisajili. Kwa mtumiaji wa mara ya kwanza bonyezahapakujisajili