BBC News, Swahili - Habari
Habari kuu
-
Juhudi za usitishaji mapigano kati ya Israel na Hamas zaendelea Saudia
Juhudi za kufikiwa usitishaji mapigano kati ya Israel na Hamas ambao unaweza kuchelewesha mashambulizi ya Israel huko Rafah kusini mwa Gaza zinaendelea.
-
Moja kwa moja, Vikosi vya Uingereza huenda vikatumwa Gaza kusaidia kutoa misaada
Wanajeshi wa Uingereza wanaweza kutumwa huko Gaza kusaidia kutoa msaada kupitia njia mpya ya baharini, BBC imefahamishwa.
-
Vifo visivyoelezeka vya Wapalestina kwenye magereza ya Israel
Hali ilizorota kwa wafungwa wa Kipalestina nchini Israel baada ya Oktoba 7 mwaka jana, wakati Hamas ilifanya mashambulizi yake mabaya dhidi ya jamii za Waisraeli karibu na Ukanda wa Gaza
-
‘Nilitaka kujiua baada ya kugundua nimepata ujauzito kutokana na ubakaji’
Alienda kuchota maji mtoni kama kila siku. Ghafla, wanaume wawili walimkamata kwa nyuma, wakamwekea kisu kooni, wakampiga na mmoja wao akambaka.
-
Tetesi za soka Ulaya Jumapili 28.04.2024
Bayern Munich wanapanga uhamisho mwingine wa kumnunua mlinzi wa Manchester City Muingereza Kyle Walker.
-
Waafrika Kusini wanavyohisi kuhusu miaka 30 ya uhuru
Miaka 30 baada ya kuchaguliwa kwa Nelson Mandela na kumalizika kwa ubaguzi wa rangi, Waafrika Kusini wanatafakari kuhusu demokrasia.
-
Meli ya mafuta yaharibiwa katika shambulio la kombora la Houthi
Kundi la waasi la Yemen linasema shambulio lake la hivi punde lililenga kundi la Andromeda Star.
-
Je, Ukraine inahusika katika vita vya Sudan kama Urusi inavyohusika?
"Ripoti ambazo zimeibuka kuhusu vikosi vya Ukraine nchini Sudan, vinaonekana kuwalenga zaidi Wagner kuliko kutoa msaada kwa jeshi la Sudan katika kupambana na Rapid Support Forces."
-
Nyota wa TikTok wa Iraq Om Fahad auawa mjini Baghdad
Om Fahad alihukumiwa kifungo cha miezi sita jela mwaka jana kwa kushiriki video zake katika mitandao ya kijamii.
-
Ukosefu wa usalama: Jinsi ambavyo DRC imekuwa tegemezi kwa uingiliaji kati wa majeshi ya kigeni
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imekuwa ikikumbwa na mizozo katika eneo lake kwa zaidi ya nusu karne, ambayo imesababisha uingiliaji kati wa majeshi ya kigeni, baadhi yakiunga mkono serikali ya Kinshasa, huku mengine yakipambana nayo.
-
Je, ni umri gani sahihi wa kuwa mama na madaktari wanasema nini kuhusu hili?
Baadhi ya maswali hayana majibu ya uhakika. Yana majibu mengi. Hutofautiana kutoka kwa mtu hadi mtu. Hata hivyo, maswali hayaishi na hivyo kufanya majibu yake kuwa mengi pia.
-
Kwa nini 'uwezo mkubwa' wa China unazitia wasiwasi Ulaya na Marekani?
Marekani inasema kwamba viwanda vinavyoibukia viliathirika na uagizaji wa bidhaa za bei nafuu kutoka China kama vile chuma miaka 10 iliyopita
Michezo
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani
Sikiza / Tazama
Gumzo mitandaoni
-
Mtoto aliyeokolewa kutoka tumboni mwa mama aliyeuawa Gaza afariki
Mtoto Sabreen alikuwa miongoni mwa watoto 16 waliouawa katika mashambulizi mawili ya anga huko Rafah wikendi iliyopita.
-
Je, kuku wa 'kizungu' wanaweza kusababisha matatizo ya kiafya?
Ripoti nyingi zinadai kuwa kuku wa kizungu hudungwa sindano za homoni kuwafanya wakue haraka
-
Bahari mpya itakayoigawa Afrika itaibuka mapema zaidi ya ilivyofikiriwa – Utafiti mpya
Mwaka 2023, makala 17 zilichapishwa, zikieleza juu ya mkondo mpya wa bahari utakaoibuka katika eneo la Afar, Ethiopia ambalo liko kwenye mipaka ya nchi hiyo pamoja Eritrea na Djibouti.
-
Hakuna haja ya kuoga kila siku - hii ndiyo sababu
Je, ni lazima kuoga mara kwa mara? Baadhi ya wataalamu wanaamini kwamba kuoga kila siku kunategemea zaidi 'mkataba wa kijamii' kuliko mahitaji halisi.
-
Yafahamu makombora ya masafa marefu ambayo Marekani imeipa Ukraine
Makombora hayo tayari yametumika angalau mara moja dhidi ya malengo ya Urusi katika rasi ya Crimea inayokaliwa kwa mabavu.
-
Mfahamu Jenerali Aharon Haliva, ambaye alijiuzulu baada ya kushindwa kuilinda Israel kutokana na shambulio la Oktoba 7
Katika barua yake ya kujiuzulu, ambayo ilisambazwa kwa vyombo vya habari, jenerali huyo alithibitisha kwamba anawajibika kwa kushindwa kuzuia shambulio ambalo halijawahi kutokea dhidi ya Israel.
-
Waridi wa BBC : Nilikimbia ‘dogoli na okuleya’ kutimiza ndoto yangu ya kuwa sauti ya jamii
Kipande cha gazeti kilichofungia sabuni kilivyonipa taarifa ya thamani
-
Vita vya Ukraine: Marekani yatuma kwa siri makombora ya masafa marefu kusaidia Kyiv
Tayari zimetumika angalau mara moja kulenga shabaha za Urusi katika eneo linalokaliwa la Crimea, ripoti za vyombo vya habari vya Marekani zinasema
-
Fahamu dalili za magonjwa manane ya figo
Kwa mujibu wa utafiti wa hivi karibuni wa Shirika la India la Nephrology, watu milioni 84 duniani kote wanaugua magonjwa mbalimbali ya figo.
-
'Tunahitaji muujiza' - Uchumi wa Israeli na Palestina ulivyoathiriwa na vita
Vita vya Gaza ambavyo vimedumu kwa zaidi ya miezi sita vimekuwa na athari kubwa kwa uchumi wa Israeli na Palestina.
Tuyajenge
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 29 Aprili 2024, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 26 Aprili 2024, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 26 Aprili 2024, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 26 Aprili 2024, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki